News

WATETEZI wa michuano ya Kombe la Kombe la Shirikisho (FA), Yanga jioni ya leo Jumapili, imeizima JKT Tanzania kwa kuichapa ...
TOFAUTI katika mpira ilikuwapo jana kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane. Rafiki zetu walituonyesha wazi kwamba wametuacha ...
KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa ...
BINGWA wa zamani wa mbio za magari nchini, Dharam Pandya ametangaza rasmi kurudi mchezoni na atakuwa mmoja wa washiriki ...
SIMBA imerejea nchini ikitokea Morocco ilikopoteza mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane kwa mabao 2-0, lakini kuna taarifa moja ngumu ambayo hakuna ...
KOCHA wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag anaweza kuwa kocha mpya wa Bayer Leverkusen ikiwa Cesc Fabregas ataamua ...
INAELEZWA matajiri wa Saudi Arabia wamerudi mezani kuzungumza na wawakilishi wa Vinicius Jr ili kumsajili dirisha lijalo la majira ya kiangazi kwa lengo la kuongeza ushawishi zaidi katika ligi yao.
MSHAMBULIAJI wa Liverpool, Mohamed Salah amemkaribisha kiungo wa Manchester City, Kevin De Bruyne katika kikosi chao katika ...
MSHAMBULIAJI wa Manchester United na England, Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 27, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Aston ...
RIPOTI zinaeleza mshambuliaji wa Chelsea, Christopher Nkunku, mwenye umri wa miaka 27, ni moja kati ya mastaa ambao Liverpool ...
HATIMAYE Gets Program imeungana na Mlandizi Queens kushuka daraja Ligi Kuu ya Wanawake baada ya kukusanya pointi 10 kwenye ...
BAADA ya Fountain Gate Princess kugomea kuendelea na mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake juzi dhidi ya JKT Queens, itakumbana na ...